![]() |
Thursday, December 19, 2013
Semina kubwa ya kufunga mwaka, Tabata, Amani
Tuesday, December 17, 2013
ASKOFU DUNSTAN MABOYA APATA MSIBA
Askofu Mkuu wa kanisa la Calvary Assemblies of God (C.A.G), Dustan Haulle Maboya afiwa na Mama yake Mzazi ambaye ni Mrs Serwin Maboya aliye fariki eneo la Manda, Nyasa.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE.
Monday, December 16, 2013
WAFAHAMU WATUMISHI WA MUNGU WANAO FANYA MAAMUZI MAKUBWA KATIKA NCHI YA TANZANIA

Na Robert E. Maziku
Bwana Yesu asifiwe.
Leo nimeona nikufahamishe baadhi ya viongozi pengine wafanya maamuzi makubwa katika nchi ya Tanzania walio okoka, hii yaweza ikawa Bungeni, Ndani ya Baraza la Mawaziri au ndani ya Halmashauri(Diwani).
Lengo ni kuonesha kuwa yote yanawezekana kwa wewe uliyeokoka, Naamini si wewe unaye ishi bali Kristo ndani yako. Pia hutumii akili yako katika mambo yako bali kwa uongozi wa Roho Mtakatifu aliye achiliwa kwako akiwa kama Msaidizi, Mfariji, Kiongozi, Mshauri na Mwelekezi kwako. Basi ikiwa ndivyo ilivyo basi wewe wafaa sana katika kuhusika katika maamuzi makubwa ndani ya taasisi zetu za Serikali kwani hautakuwa wewe unafanya maamuzi bali Kristo ndani yako, pia itakuwa Roho Mtakatifu kahusika katika upatikanaji wa uamuzi wako kwani yeye ni MSHAURI kwako.
Mch. Israel Natse (Mbunge)
Mch. Getrude Rwakatale (Mbunge).
Mch. Peter Msigwa (Mbunge)
Mch. Luckson Mwanjale (Mbunge)
Washirika/Wapendwa walioko Bungeni
Marry Mwanjelwa (Mbunge)
Lolesia Bukwimba (Mbunge)
Joshua Nassari (Mbunge)
Martha Mlata (Mbunge)
Hawa ni Baadhi ninao wafahamu mimi, kama hayupo unae mfahamu wewe haimaanishi hastahili kuwepo kwenye orodha.
MUNGU AWABARIKI WOTE
Thursday, December 12, 2013
WAKRISTO TUWE NA VYANZO MBALIMBALI VYA MAPATO:Mchungaji Jennifer
INJILI NA UCHUMI,
KUWA MKRISTO HAIMAANISHI KUWA MDHAIFU KIUCHUMI. TUMSIKILIZE/KUMWANGALIA MCHUNGAJI JENNIFER KUTOKA KANISA LA CALVARY ARUSHA (SOMBETINI) AKIFAFANUA.
Nyumba ya Askofu Desmond Tutu yavamiwa
![]() |
Askofu Desmond Tutu Afrika Kusini alipokuwa anahutubia kwenye ibada ya Mandela |
Aidha wameelezea kuwa uvamizi ulifanyika nyumbani kwake mjini Cape Town Ahamisi jioni baada ya kutoa hotuba katika ibada ya Mandela siku hiyo.
Ibada hiyo ilifanyika katika uwanja wa FNB mtaani Soweto.Wizi na uvamizi wa nyumba za watu ni jambo la kawaida nchini Afrika Kusini ambako visa vya uhalifu viko juu sana
Source:bbcswahili
HON. GEODAVY
A MESSAGE FROM H.E HON. GEORDAVIE, THE PRESIDING ARCHBISHOP FATHER, FOUNDING PRESIDENT OF THE GCM - N.Y.U. DIPLOMATS WORLDWIDE AND N.Y.U. FM RADIO 99.2 ARUSHA:
1. "MAY THE LORD GOD ALMIGHTY, GIVE YOU STRENGTH OVER ALL THE GIANTS AROUND YOU,
2. MAY YOU FIND HAPPINESS, PEACE AND JOY UNSPEAKABLE IN THE SIMPLICITY OF GOD's ANSWER TO YOU IN DUE SEASON,
3. MAY THE LORD GRANT YOU THE UNDERSTANDING GRACE TO DIFFERENTIATE SEASONS AND LEARN TO APPRECIATE EVERY SINGLE BLESSING UPON YOUR LIFE THRU OUR LORD AND SAVIOR JESUS CHRIST"
Subscribe to:
Posts (Atom)











