Monday, January 20, 2014

JE WAJUA KUWA LUGHA SIO KIELELEZO CHA IMANI?,


Imeandikwa na Robert E. Maziku

Watu huchanganya wakati mwingine kwa kufikili kuwa Lugha ni kielelezo cha  Imani, Kwa mfano akiongea kiingereza au kiarabu ni ishara ya Imani fulani. Naomba niwakumbushe sio kweli.

Lugha ni chombo cha mawasiliano baina ya kiumbe flani na kingine chombo hiki kikiwa katika mfumo wa sauti tena wataalamu wanatuambia sauti zenyewe ni za nasibu tu yaani hakukuwa na makubaliano maalumu kuwa tutakuwa tunatoa sauti hii ikimaanisha hivi bali zilitokea tu, na ndio maana kuna Lugha za wanyama na Lugha za watu. Nyuki wanasauti zao zinazo wafanya wao kwa wao kuelewana kama ilivyo binadamu watumiavyo sauti kuelewana. Hizi Lugha hazitoi ishara ya wewe ni dini gani.

Hii ni sura ya 150 kutoka katika kitabu cha Zaburi kinachopatikana katika Biblia takatifu kikiwa kimeandikwa kiarabu atakae weza kusoma asome kwa kuhakiki asiyeweza basi aamini tu kuwa KIARABU NI LUGHA NA SIO UKIKUTA KITABU KIMEANDIKWA KIARABU KINAMAANISHA DINI BALI NI LUGHA YA MAWASILIANO KWA WAARABU NA WANAOTUMIA KIARABU.


اَلْمَزْمُورُُ الْمِئَةُ وَالْخَمْسُونَ

1هَلِّلُويَا. سَبِّحُوا اللهَ فِي قُدْسِهِ. سَبِّحُوهُ فِي فَلَكِ قُوَّتِهِ. 2سَبِّحُوهُ عَلَى قُوَّاتِهِ. سَبِّحُوهُ حَسَبَ كَثْرَةِ عَظَمَتِهِ. 3سَبِّحُوهُ بِصَوْتِ الصُّورِ. سَبِّحُوهُ بِرَبَابٍ وَعُودٍ. 4سَبِّحُوهُ بِدُفّ وَرَقْصٍ. سَبِّحُوهُ بِأَوْتَارٍ وَمِزْمَارٍ. 5سَبِّحُوهُ بِصُنُوجِ التَّصْوِيتِ. سَبِّحُوهُ بِصُنُوجِ الْهُتَافِ. كُلُّ نَسَمَةٍ فَلْتُسَبِّحِ الرَّبَّ. هَلِّلُويَا.

No comments:

Post a Comment