Friday, November 29, 2013

POPO WAIBUKA TANGA


Muda mfupi baada ya Mch Gwajima kuanza kuhubiri jana kukaibuka kundi kubwa la popo sijawahi ona mpaka uwanja ukawa na kimvuli hivi mapopo makubwa kama kungulu mchana kweupe,wachawi wa Tanga wanamambo kweli,wachawi wa Tanga jana walianguka kila mmoja kwa wakati wake wa3 live wananchi fujo wanataka wawapige watu wamechachamaa.WOTE WAMESHINDWA KWA JINA LA YESU.
BY FLORA MBASHA

No comments:

Post a Comment