Tuesday, October 15, 2013

INJILI FOREVER

KUHUSU BLOG YA INJILI FOREVER 

Injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu, Forever ni neno la kigeni(English word) lenye kumaanisha umilele yaani kutokuwepo kwa kikomo. Maneno haya kwa pamoja yanamaanisha Injili ni jambo endelevu maadamu bado tupo duniani. kwa hakika tukimaliza kazi (injili au mambo/matendo yamsababishayo mtu kumwamini Yesu kristo) tutavikwa taji. Kinyume chake nikwamba hata kama utakuwa unampenda Yesu kristo na kumfata(kuokoka) halafu usilete chachu ya mtu kumwamini Yesu kristo au japo kumsikia habari zake HAKUNA TAJI.

Mimi binafsi nimeamua kuwa chachu(kuichuchumilia mede) kwa kukuhabarisha mambo ya Yesu kristo kila jambo lihusulo Habari njema za Yesu Kristo nitaliweka hapa nikisaidiana na wasaidizi wangu walio amua kuichuchumilia mede. Kati ya mambo yatakayokuwa yanapatikana hapa INJILI FOREVER ni Mafundisho ya Biblia kutoka kwa Mitume, Wachungaji, Wainjilisti, Manabii, Walimu watakao ona ni fursa kwao kupenyeza neno la Mungu kupitia mitandao. Pia Matamasha, Semina, Mikutano Uzinduzi vyote tutahakikisha unavipata ndugu msomaji wetu.

Wapendwa tusisahau kuwa kwa sasa yatupasa kuhakikisha Injili ya Yesu Kristo inaenea kwa kiwango kikubwa sana tusikubali kushawishika kuingia katika malumbano ya watumishi wa Mungu. Mimi ninaamini IWE KWA HILA AMA HAKI INJILI YA BWANA ITAHUBILIWA.

UONGOZI WA INJILI FOREVER




  1. Organization Administrator
    Robert E. Maziku                    
    0653340950
    Dar-es-salaam.




2. IT Administrator        
    Apostle Eliya Simon
    0759166934
    Dodoma







3. Manager
    Celine Mwakabwale
    0713698607
    Mwanza








4. Team Member
    Victory E. Senge
     0658955516
     Mwanza

5. Team Member
    Niyonzima Zabron
    0654061221
    Dar es salaam

6. Team Member
    Elihuruma Mathayo
    0753575414
    Dodoma

7.Team  Member
    Ezekiel Paul
    0752184464
    Dodoma

TUNATEGEMEA USHIRIKIANO WAKO. WOTE TUNASEMA INJILI FOREVER

4 comments:

  1. mimi ni methew Jackson mimi na omba bwana wetu yesu kristo awa baliki na kuwakuza awajalie pia mahalifa zaidi na zaidi katika kuitetea injiri na kuisongesha mbele naomba kama kuna semina na maombi ya vijana mtuwekee kwenye blog

    ReplyDelete
  2. Usijali ndugu Mathew Jackson. Tutajitahidi

    ReplyDelete